Kwa mujibu wa Hujjatul Islam wa Muslimin Muhsin Dadseresht, mwakilishi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa (SAW), moja ya nukta muhimu ya Mwezi wa Ramadhani ni kuwa mwezi huu husaidia katika kuleta mafanikio maishani kwa kumfunza mwanadamu nidhamu.
Ameongeza kuwa, kwa msingi huo saumu ya Ramadhani ni moja ya misingi muhimu ambayo humuwezesha mwanadamu kupata mafanikio maishani.