IQNA

Mwanamke wa Kipalestina aliyejeruhiwa aliokolewa kutokana na mashambulizi ya anga ya huko Gaza hakuachia Qur’ani Tukufu mkononi mwake

Mwanamke wa Kipalestina aliyejeruhiwa ameokolewa kutokana na vifusi vya mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israeli kwenye nyumba za Khan Yunis kusini mwa Ukanda wa Gaza unaokaliwa kwa Mabavu akiwa ameshikilia Qur’ani Tukufu mikononi mwake na kuishikiria kwa nguvu bila kuiachia
Operesheni ya  Kimbunga cha al-Aqsa Imechukua  Sura Mpya katika Makabiliano dhidi ya wavamizi wa Israel: Hamas
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Hamas amepongeza operesheni ya hivi karibuni iliyozinduliwa Gaza kama sura mpya katika makabiliano dhidi ya wavamizi wa Israeli.
2023 Oct 09 , 17:57
Ukanda wa Gaza uliokaliwa kwa Mabavu: Zaidi ya Wapalestina 120,000 wameyakimbia makazi yao huku kukiwa na migogoro
GAZA (IQNA) - Zaidi ya wakazi 120,000 wa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wameyakimbia makazi yao kutokana na mzozo unaoendelea kati ya vikosi vya upinzani na jeshi la Israel, Umoja wa Mataifa ulisema.
2023 Oct 09 , 17:36
Erdogan: Kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Uswidi ni dalili ya kiwango cha kutisha cha chuki dhidi ya Uislamu
ANKARA (IQNA)- Rais wa Uturuki amesema "Shambulizi la chuki dhidi ya kitabu chetu, Qur'ani, huko nchini Uswidi katika siku ya kwanza ya Sikukuu za Iddul Adh'ha, lilianika kiwango cha kutisha cha chuki dhidi ya Uislamu."
2023 Jul 09 , 15:25
Mahujaji wanaweza kupokea vyeti vya kukamilisha Hija mtandaoni
MAKKA (IQNA) – Cheti cha kifahari cha Hija kinaweza kutolewa kwa njia ya intaneti kwa wale wote walioshiriki katika Ibada ya Hija mwaka huu wa 1444 Hijria Qamaria.
2023 Jul 09 , 15:12
Kutukana matukufu ya kidini ni tishio la msingi wa kuishi pamoja kwa amani
ABUJA (IQNA) - Mwanaharakati wa Kiislamu wa Nigeria amelaani kitendo cha hivi karibuni cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Uswidi (Sweden) na kusisitiza kwamba vitendo hivyo vya kufuru vinatishia msingi wa kuishi pamoja kwa amani katika jamii.
2023 Jul 09 , 14:48
OIC yahimizwa kubuni mkakati kukabiliana na Kukua kwa chuki dhidi ya Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imehimizwa kubuni mikakati ya kukabiliana na chuki inayoongezeka dhidi ya Uislamu duniani kote.
2023 Jul 08 , 15:43
Uswidi yatafakari marufuku ya kuchoma moto Qur’ani Tukufu baada ya kilio cha ulimwengu
STOCKHOLM (IQNA) - Waziri wa Sheria wa Uswidi, Gunnar Strommer alisema serikali inafikiria kupiga marufuku kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu au vitabu vingine vya kidini baada ya kitendo cha kuchoma moto Qur’ani Tukufu hivi karibuni nchini humo kusababisha hasira katika Ulimwengu wa Waislamu.
2023 Jul 07 , 23:17
Wapakistan waandamana kulaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Uswidi
ISLAMABAD (IQNA) - Waislamu kote Pakistan walijitokeza mitaani Ijumaa kuandamana kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu nchini Uswdi.
2023 Jul 07 , 22:37
Msikiti washambuliwa mara ya nne katika siku 10 nchini Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA)-Msikiti huko Portales, New Mexico, nchini Marekani umeharibiwa kwa mara ya nne katika kipindi cha siku 10 huku polisi wakipuuza hawajazingatia mashambulio hayo yanayorudiwa, ambayo ni pamoja na kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu.
2023 Jul 07 , 22:14
Makundi ya Palestina yapata ushindi Jenin, Israel yaambulia patupu
TEHRAN (IQNA) - Makundi ya muqawama yamewapongeza wananchi wa Palestina kwa kupata ushindi mkubwa wa kufanikiwa kuzima uvamizi na mashambulizi ya jeshi katili la Israel dhidi ya Wapalestina katika mji wa Jenin, kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
2023 Jul 06 , 16:53
OIC yatoa wito kwa vyombo vya habari kupambana na chuki dhidi ya Uislamu
MAKKA (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Jumatano ilitoa wito kwa nchi wanachama wake kufadhili utayarishaji wa vipindi vya radio, televisheni na vyombo vingine vya habari kwa lengo la kupambana na chuki dhidi ya Uislamu.
2023 Jul 06 , 16:38
Wanazuoni wa Kiislamu wahimizwa kukemea kuvunjiwa heshima matukufu ya Kiislamu
DOHA (IQNA) - Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa wito wa kuwepo kwa mahubiri ya kila wiki katika misikiti kulaani kitendo cha hivi karibuni cha kuteketeza moto Qur'ani Tukufu chini Uswidi.
2023 Jul 06 , 16:12