Hafla hiyo, iliyoandaliwa na jumba la kisayansi la Qur'ani Tukufu kwenye haram hiyo, lilishuhudia ushiriki wa maqari kutoka nchi 21.
Mashindano hayo ya Qur'ani yalifanyika kwa zaidi ya vipindi kumi vya kusisimua, huku washiriki wakichuana kusonga mbele katika duru hizo. Baada ya duru kadhaa za ushindani mkali, washiriki kumi walifanikiwa kutinga nusu fainali, Mtandao wa Al Kafeel Global uliripoti Jumamosi.
Hatimaye, wasomaji watatu kutoka kila kategoria walitangazwa kuwa washindi.
Katika kitengo cha Vijana, washindi walikuwa:
Katika kitengo cha watu wazima, washindi walikuwa:
Washindi hao walitunukiwa zawadi na Sayed Laith al-Mousawi, mwanachama wa Bodi ya Wakurugenzi wa Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas AS
Tuzo ya Kimataifa la Kuhifadhi Qur’ani ya la Al-Ameed hutumika kama jukwaa la kukuza mazungumzo ya kimataifa ya Qur'ani na kuhumiza mashindano ya Qur'ani kieneo na kwingineko. Inaashiria pia dhamira ya Haram ya Hadhrat Abbas AS katika kukuza sayansi, utamaduni, na maadili ya Qur'ani Tukufu katika jamii za Kiislamu.
/3487754