iqna

IQNA

malaysia
Kongamano la Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Tukio lililopewa jina la “Kongamano la Kimataifa la Qu’ani” lilifanyika Kuala Lumpur siku ya Jumamosi kwa kushirikisha mamia ya watu.
Habari ID: 3476198    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05

Qur'ani Tukufu katika Maisha
TEHRAN (IQNA) - Kongamano limepangwa kufanyika katika mji mkuu wa Malaysia Disemba 3 kujadili masuluhisho ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za siku hizi.
Habari ID: 3476185    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

Waislamu na Uislamu Malaysia
KUALA LUMPUR (IQNA) – Ukiwa na rangi ya kipekee ya waridi na usanifu majengo wa aina yake, Msikiti wa Putra unapatikana katika mji mkuu wa Malaysia,Kuala Lumpur.
Habari ID: 3476107    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18

Mashindano ya Qur'ani
KUALA LUMPUR (IQNA) - Washindi wakuu wa Mashidano ya 62 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia walitangazwa na kutunukiwa zawad katika hafla ya kufunga hapa Jumatatu.
Habari ID: 3475987    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/25

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 62 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Malaysia yalianza rasmi Jumatano usiku katika mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur.
Habari ID: 3475957    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/20

TEHRAN (IQNA) - Kwa mujibu wa maafisa, washiriki 41 kutoka nchi 31 wamepangwa kushiriki katika duru ya mwisho ya toleo la 62 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia.
Habari ID: 3475896    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/08

Waziri Mkuu wa Malaysia
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Malaysia Ismail Sabri Yaakob amewasihi Waislamu kurejelea Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume Muhammad SAW kama miongozo wakati wa kushughulika na kutokuelewana.
Habari ID: 3475445    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01

TEHRAN (IQNA) - Katika kampeni iliyoitwa 'Hands Off Al-Aqsa Mosque' (Achaneni na Msikiti wa Al Aqsa), Baraza la Ushauri la Malaysia la Mashirika ya Kiislamu (Mapim) na mashirika 43 yasiyo ya kiserikali (NGOs) yameonyesha mshikamano wao na Wapalestina.
Habari ID: 3475163    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/24

Waziri Mkuu wa Malaysia
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Malaysia aliwataka Waislamu kuisoma na kuielewa kwa kina Qur'ani Tukufu ili wawe miongoni mwa wachamungu.
Habari ID: 3475142    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19

TEHRAN (IQNA) - Msikiti wa Putra ambao uko katika mji wa Putrajaya, Malaysia ni maarufu kama msikiti maridadi zaidi duniani.
Habari ID: 3474895    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/06

TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya usalama ya harakati za kupigania ukombozi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza yamefanikiwa kumnasa mmoja wa wahusika wa mauaji ya kigaidi ya msomi na mwanasayansi wa Kipalestina aliyeuliwa huko Malaysia.
Habari ID: 3474795    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/11

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeipongeza Malaysia kwa msimamo wake wa kupinga kuanzisha uhusiano na adui Mzayuni.
Habari ID: 3474629    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/02

TEHRAN (IQNA)- Mtawala wa Jimbo la Selangro nchini Malaysia ameamuru idadi ya waumini wanaoshiriki katika Sala ya Ijumaa misikitini iongezwe.
Habari ID: 3474494    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/31

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepongeza tamko la Waziri wa Mambo ya Nje wa Malaysia ambaye amesema nchi yake katu haitaanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474451    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/21

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Masuala ya Kidini Malaysia Zulkifli Mohammad al Bakri amesema nchi yake inalenga kuanzisha mfuko maalumu wa kifedha maalumu kwa lengo la kuwasaidia Wapalestina.
Habari ID: 3473958    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/29

TEHRAN (IQNA) – Chanjo ya COVID-19 au corona inayosuburiwa kwa hamu, haina haja ya kupata cheti cha ‘Halal’ kabla ya kutumika nchini Malaysia, amesema mkurugenzi mkuu wa Wizara ya Afya nchini humo Daktari Noor Hisham Abdullah.
Habari ID: 3473439    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/09

TEHRAN (IQNA) – Klipu ya Waziri Mkuu wa Malaysia Muhyiddin Yassin akisoma Qur’ani Tukufu imeenea katika mitandao ya kijamii hivi karibuni
Habari ID: 3473242    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/08

TEHRAN (IQNA) – Misikiti zaidi Malaysia imejiunga na ‘Mpango wa Msikiti wa Kijani’ unaohusu kuzuia kulinda mazingira katika matumizi ya maji na umeme.
Habari ID: 3473211    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/28

TEHRAN (IQNA) – Misikiti zaidi itafunguliwa Mayalsia kwa ajili ya swala ya Ijumaa na watakashiriki katika swala watatakiwa kuzingatia sheria za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472876    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/18

TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mashauriano la Jumuiya za Kiislamu Malaysia limelaani vikali ukatili wa polisi nchini Marekani na kusema ukosefu wa uadilifu na utumiaji mabavu ni dhatu ya mfumo wa utawala nchini Marekani.
Habari ID: 3472833    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/03