IQNA

Tuzo ya Qur’ani ya Dubai 2026 Yaingia Hatua Inayofuata na Wasomaji 525 Bora

Tuzo ya Qur’ani ya Dubai 2026 Yaingia Hatua Inayofuata na Wasomaji 525 Bora

IQNA – Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai imetangaza matokeo ya mchujo wa awali, ambapo washiriki 525 wamechaguliwa kuendelea katika toleo la 28 la mashindano hayo.
00:29 , 2025 Aug 09
Iraq yazina njama ya hujuma ya kigaidi ya Daesh dhidi ya wafanyaziyara wa Arbaeen

Iraq yazina njama ya hujuma ya kigaidi ya Daesh dhidi ya wafanyaziyara wa Arbaeen

IQNA – Gavana wa mkoa wa Karbala, Iraq, ametangaza kufanikiwa kuvuruga njama ya kigaidi iliyolenga wafanyaziyara wa Arbaeen katika eneo lake.
00:25 , 2025 Aug 09
Nchi 128 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

Nchi 128 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

IQNA – Msikiti Mtakatifu jijini Makkah unatarajiwa kuanza kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani kuanzia Jumamosi.
00:19 , 2025 Aug 09
Afisa wa Malaysia: Qur’ani Lazima Iongoze Sera, Elimu na Uchumi

Afisa wa Malaysia: Qur’ani Lazima Iongoze Sera, Elimu na Uchumi

IQNA – Katika ufunguzi wa Kongamano la Dunia la Qur’ani 2025 jijini Kuala Lumpur, Malaysia, wito umetolewa wa kuifanya Qur’ani kuwa mwongozo wa kina katika utungaji sera, elimu, na mikakati ya kiuchumi na isiwe ni ya usomaji na kuhifadhi pekee.
00:15 , 2025 Aug 09
Misafara ya Qur’ani kutoka Iran katika Matembezi ya Arbaeen Kutambulisha Sifa za Qur’ani za Imam Hussein (AS)

Misafara ya Qur’ani kutoka Iran katika Matembezi ya Arbaeen Kutambulisha Sifa za Qur’ani za Imam Hussein (AS)

IQNA – Mwanaharakati mkongwe wa Qur’ani amesisitiza umuhimu wa msafara wa Qur’ani wa Arbaeen kutoka Iran katika kueneza na kutambulisha sura ya Qur’ani ya Imam Hussein (AS).
00:09 , 2025 Aug 09
Wizara ya Mambo ya Ndani Iraq kutumia uwezo wake wote  wakati wa Arbaeen

Wizara ya Mambo ya Ndani Iraq kutumia uwezo wake wote wakati wa Arbaeen

IQNA – Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iraq amesisitiza juhudi za kila upande zinazofanywa na wizara yake ili kuwatumikia wafanyaziyara wanaoshiriki katika mjumuiko na matembezi ya Arbaeen mwaka huu na kuhakikisha usalama wao kikamilifu.
10:40 , 2025 Aug 08
Kongamano la Dunia la Qur’ani Kuwakutanisha Wanazuoni wa Kimataifa Katika MTHQA ya 65 Nchini Malaysia

Kongamano la Dunia la Qur’ani Kuwakutanisha Wanazuoni wa Kimataifa Katika MTHQA ya 65 Nchini Malaysia

IQNA – Kongamano la Dunia la Qur’ani 2025 linatarajiwa kufanyika leo katika Kituo cha Biashara cha Dunia, Kuala Lumpur (WTCKL), likiendana na Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani (MTHQA).
20:16 , 2025 Aug 07
Qari Kutoka Cameroon asoma Surah An-Nasr kwa ajili ya Kampeni ya Fath ya Qur’ani

Qari Kutoka Cameroon asoma Surah An-Nasr kwa ajili ya Kampeni ya Fath ya Qur’ani

IQNA – Ahmad Al-Daleel, msomaji na mhifadhi mahiri wa Qur’ani Tukufu kutoka Jamhuri ya Cameroon, ameungana na kampeni ya Fath ya Qur’ani kwa kuwasilisha video ya kisomo chake cha kuvutia cha Surah An-Nasr.
20:07 , 2025 Aug 07
Masharti ya Trump ya ‘Israel Kwanza’ kwa Misaada ya Maafa ni Shambulio Dhidi ya Uhuru wa Maoni na Haki za Binadamu – CAIR

Masharti ya Trump ya ‘Israel Kwanza’ kwa Misaada ya Maafa ni Shambulio Dhidi ya Uhuru wa Maoni na Haki za Binadamu – CAIR

IQNA – Shirika moja la utetezi wa haki limeshutumu agizo jipya kutoka kwa serikali ya Trump linalozuia utoaji wa misaada ya majanga kwa majimbo na miji ya Marekani inayopinga bidhaa na makampuni ya Israel yanayoshiriki katika uhalifu wa kivita, likilitaja kuwa si la kizalendo, linakiuka katiba, na ni shambulio dhidi ya haki za binadamu na uhuru wa kujieleza.
00:03 , 2025 Aug 07
Mshiriki wa Palestina Katika Mashindano ya MTHQA Asema Alihifadhi Qur’ani asimulia kuhusu wazazi wake

Mshiriki wa Palestina Katika Mashindano ya MTHQA Asema Alihifadhi Qur’ani asimulia kuhusu wazazi wake

IQNA – Jenan Nabil Mohammed Nofal ni hafidha wa Qur’ani Tukufu anayewakilisha Palestina katika Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani yanayofanyika nchini Malaysia.
23:56 , 2025 Aug 06
Benki ya Kiislamu Kushirikiana na Al-Azhar Kuandaa Mashindano ya Qur'ani

Benki ya Kiislamu Kushirikiana na Al-Azhar Kuandaa Mashindano ya Qur'ani

IQNA – Mashindano ya tatu ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur’ani yanayoandaliwa na Msikiti Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri yatafanyika kwa ushirikiano na benki ya Kiislamu.
23:52 , 2025 Aug 06
Mtihani wa Kuwachagua Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Kufanyika Yemen

Mtihani wa Kuwachagua Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Kufanyika Yemen

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mwongozo ya Yemen imetangaza kuwa itafanya mtihani maalum kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wa nchi hiyo watakaoshiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani katika mataifa mbalimbali.
23:46 , 2025 Aug 06
Kundi la Kwanza la Wasomaji wa Msafara wa Qur'ani kutoka Iran Waanza Shughuli Zao Najaf

Kundi la Kwanza la Wasomaji wa Msafara wa Qur'ani kutoka Iran Waanza Shughuli Zao Najaf

IQNA – Kundi la kwanza la wahudumu wa Qur'ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, walioko katika Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen, wamewasili Iraq mapema wiki hii na wameanza kufanya shughuli mbalimbali za Qur'ani katika mji mtukufu wa Najaf.
23:38 , 2025 Aug 06
Israel yalaaniwa vikali kwa kuwafisha njaa na kuwachinja Wapalestina wanaotafuta chakula

Israel yalaaniwa vikali kwa kuwafisha njaa na kuwachinja Wapalestina wanaotafuta chakula

IQNA – Shirika la kutetea haki za Waislamu nchini Marekani limelaani vikali vifo vya raia wa Gaza vinavyosababishwa na njaa inayosababishwa kimakusudi na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ukanda wa Palestina.
00:26 , 2025 Aug 06
Malaysia yaongeza juhudi za kukuza maadili ya Qur’an katika masha ya kila siku

Malaysia yaongeza juhudi za kukuza maadili ya Qur’an katika masha ya kila siku

IQNA – Malaysia imezidisha juhudi za kuitangaza Qur'an Tukufu kama mwongozo wa maisha yenye maadili, kwa lengo la kulea kizazi chenye msingi imara wa tabia njema na uchamungu.
00:04 , 2025 Aug 06
1