IQNA

Wanaharakati wa Qur'ani Iran wakemea matamshi ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Muadhamu

IQNA – Jumuiya ya Wanaharakati wa Qur’an ya Iran imelaani vikali matusi na vitisho vya rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu,...

Mtafiti: Ujumbe wa Imamu Hussein (AS) waugusa ubinadamu wote

IQNA – Mwanazuoni na mtafiti wa Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kimataifa na wa milele wa harakati ya Imam Hussein (AS), akiuelezea kama ujumbe wa kibinadamu...

Mnara wa kuenzi kumbukumbu ya Mtoto Mpalestina-Mmarekani aliyeuawa katika jinai ya chuki

IQNA – Wakazi wa Plainfield, Illinois, nchini Marekani walikusanyika Jumamosi kufungua mnara wa kumbukumbu kuenzi maisha ya Wadea Al-Fayoume, mtoto Mpalestina-Mmarekani...

Mashindano ya Qur’ani nchini Slovenia yavutia washiriki zaidi ya 1,000

IQNA – Toleo la tisa la mashindano ya "Kizazi cha Qur’ani" limehitimishwa mjini Ljubljana, likiwa limewakutanisha zaidi ya washiriki elfu moja kutoka maeneo...
Habari Maalumu
Nchi za Afrika zazidi kuvutia watalii Waislamu

Nchi za Afrika zazidi kuvutia watalii Waislamu

IQNA – Nchi za Afrika zinaendelea kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wasafiri Waislamu, huku vivutio vya nchi za Magharibi vikizidi kupoteza mvuto wao...
30 Jun 2025, 10:41
Haram Takatifu ya Najaf yajaa Wafanyaziara katika Mwezi Mtukufu wa Muharram

Haram Takatifu ya Najaf yajaa Wafanyaziara katika Mwezi Mtukufu wa Muharram

IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (Alayhis Salaam) huko Najaf, Iraq, kwa sasa inashuhudia wingi mkubwa wa wafanyaziara na waombolezaji kuadhimisha kuingia...
29 Jun 2025, 19:07
Wizara ya Wakfu Syria yakanusha kufunga Haram ya Bibi Zaynab (SA) au kuzuia maombolezo ya Muharram

Wizara ya Wakfu Syria yakanusha kufunga Haram ya Bibi Zaynab (SA) au kuzuia maombolezo ya Muharram

IQNA – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini nchini Syria imekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuwa Haram takatifu ya...
29 Jun 2025, 18:52
Waislamu wa Singapore kutuma tani 16 za nyama ya Udhiya Gaza

Waislamu wa Singapore kutuma tani 16 za nyama ya Udhiya Gaza

IQNA – Waislamu nchini Singapore wanatarajiwa kuchangia tani 16 za nyama ya Udhiya iliyo kwenye makopo kwa ajili ya wakaazi wa Gaza, kama sehemu ya juhudi...
29 Jun 2025, 18:38
Wanafunzi na Walimu wa Qur’an Waheshimiwa Nchini Qatar

Wanafunzi na Walimu wa Qur’an Waheshimiwa Nchini Qatar

IQNA – Hafla ya kila mwaka ya Idara ya Qur’an Tukufu na Sayansi Zake kwa ajili ya kuwaheshimu wanafunzi wa Qur’an imefanyika katika mji mkuu wa Qatar,...
29 Jun 2025, 19:00
Spika wa Bunge la Iran: Umoja na Uwepo wa Wairani ndiyo jibu kuu kwa Israel

Spika wa Bunge la Iran: Umoja na Uwepo wa Wairani ndiyo jibu kuu kwa Israel

IQNA – Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ameisifu hadhira kubwa ya Wairani waliohudhuria mazishi ya pamoja yaliyofanyika Jumamosi mjini...
28 Jun 2025, 21:57
Mazishi ya mashahidi  Wairani wa jinai za Israel ni dhihirisho la umoja na kupinga ubeberu

Mazishi ya mashahidi Wairani wa jinai za Israel ni dhihirisho la umoja na kupinga ubeberu

IQNA-Leo Jumamosi tarehe 28 mwezi Juni 2025 inayosadifiana na tarehe pili Muharram 1447 Hijria Tehran inashuhudia shughuli kubwa na ya kihistoria ambapo...
28 Jun 2025, 13:41
Hali ya maombolezo Baina Haramain huko Karbala kufuatia kuingia kwa Muharram

Hali ya maombolezo Baina Haramain huko Karbala kufuatia kuingia kwa Muharram

IQNA – Pamoja na kuwasili kwa mimu wa  huzuni katika mwezi wa Muharram, mitaa inayoelekea kwenye makaburi matakatifu ya Imam Hussein (AS) na Hazrat Abbas...
28 Jun 2025, 22:10
Wabunge Waislamu Marekani walaani hujuma dhidi ya Mwislamu mgombea umeya wa New York, Zohran Mamdani

Wabunge Waislamu Marekani walaani hujuma dhidi ya Mwislamu mgombea umeya wa New York, Zohran Mamdani

IQNA – Wabunge wote Waislamu wa Bunge la Marekani wametoa taarifa ya pamoja kulaani mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu yaliyomlenga Zohran Mamdani,...
28 Jun 2025, 22:32
Ndege za kuwarejesha Mahujaji wa Kiirani zaanza tena safari

Ndege za kuwarejesha Mahujaji wa Kiirani zaanza tena safari

IQNA – Operesheni ya kuwarejesha Mahujaji wa Kiirani wa Hija nchini kwa njia ya anga ilianza tena Alhamisi.
28 Jun 2025, 21:16
Ayatullah Khamenei alipongeza Taifa la Iran kwa ushindi dhidi ya Israel, Marekani

Ayatullah Khamenei alipongeza Taifa la Iran kwa ushindi dhidi ya Israel, Marekani

IQNA - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei amelipongeza taifa la Iran kwa ushindi dhidi ya utawala wa Israel na Marekani...
26 Jun 2025, 20:06
UNRWA: Wapalestina wa Gaza wakaribia kufa kutokana na kiu

UNRWA: Wapalestina wa Gaza wakaribia kufa kutokana na kiu

IQNA - Mgogoro mkubwa wa maji unatishia Wapalestina wa Gaza ambapo wanaweza kufariki kutokana na kiu cha maji  huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiendeleza...
26 Jun 2025, 20:18
Wahifadhi Qur'ani kutoka Nchi 85 wajisajili katika Mashindano ya Qur’ani ya Dubai

Wahifadhi Qur'ani kutoka Nchi 85 wajisajili katika Mashindano ya Qur’ani ya Dubai

IQNA – Wahifadhi Qur’ani kutoka nchi 85 wamesajili majina yao ili kushiriki katika toleo la 28 la Tuzo la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Dubai.
25 Jun 2025, 23:53
Pazia la Kaaba limebadilishwa kwa mnasaba wa kuanza mwaka wa Kiislamu 1447 Hijria

Pazia la Kaaba limebadilishwa kwa mnasaba wa kuanza mwaka wa Kiislamu 1447 Hijria

IQNA – Pazia la Kaaba Tukufu ambalo linajulikana kama Kiswa, linabadilishwa wiki hii kuashiria kuanza kwa mwaka wa Kiislamu wa 1447 AH.
25 Jun 2025, 23:41
Wapalestina zaidi ya 56,077  wameuawa shahidi katika mauaji ya kimbari yanatekelezwa na Israel Gaza

Wapalestina zaidi ya 56,077 wameuawa shahidi katika mauaji ya kimbari yanatekelezwa na Israel Gaza

IQNA - Jeshi katili la Israel dhid limeua takriban Wapalestina 56,077 katika mauaji ya kimbari huko Gaza tangu Oktoba 7, 2023.
25 Jun 2025, 22:42
Umoja wa Waislamu waimarika baada ya operesheni ya Iran dhidi ya Israel

Umoja wa Waislamu waimarika baada ya operesheni ya Iran dhidi ya Israel

IQNA - Mshikamano wa Waislamu katika ulimwengu wa Kiislamu umefikia kiwango kisicho na kifani kufuatia Operesheni ya Ahadi ya Kweli III dhidi ya utawala...
25 Jun 2025, 05:38
Picha‎ - Filamu‎