Habari Maalumu
IQNA – Amirhossein Landarani, kijana mchanga wa Iran anayesoma na kuhifadhi Qur'an, ambaye hivi karibuni alishinda nafasi ya kwanza katika kipengele...
05 Nov 2025, 16:07
IQNA-Zohran Mamdani mbunge Muislamu amechaguliwa kuwa Meya wa 111 wa jiji la New York, mtu wa kwanza mwenye asili ya Asia Kusini na wa kwanza aliyezaliwa...
05 Nov 2025, 12:09
IQNA – Chuo Kikuu cha Houston kilichopo jimbo la Texas, Marekani, kimetangaza kuwa kinachunguza tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur'an Tukufu...
05 Nov 2025, 16:00
Ushirikiano Katika Qur'ani/ 8
IQNA-Katika Uislamu, kuna kanuni inayoitwa ta’āwun , yaani kushirikiana katika mambo ya kheri. Waislamu wanapaswa kusaidiana katika mema, lakini wajiepushe...
04 Nov 2025, 21:15
IQNA – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu na Mahusiano ya Kimataifa amesema kuwa taasisi hiyo inapanga kuanzisha Taasisi ya Kimataifa...
04 Nov 2025, 19:22
IQNA – Katika mji wa Mashhad, bendera ya kijani iliyokuwa juu ya kuba ya kaburi tukufu la Imam Ridha (AS) imeondolewa na kubadilishwa na bendera nyeusi,...
04 Nov 2025, 20:41
IQNA-Maandamano ya Siku ya Mwenyezi Mwenyezi Mungu yaani Aban 13 ambayo ni Siku ya Taifa ya Iran ya Kupambana na ubeberu na uistikbari yamefanyika hapa...
04 Nov 2025, 20:08
IQNA – Sherehe maalum ya kuwatunuku wahifadhi wa Qur’ani Tukufu kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar imefanyika katika mkoa wa Giza nchini Misri.
04 Nov 2025, 19:33
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa mzozo uliopo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani...
04 Nov 2025, 07:06
IQNA – Katika hatua ya mshikamano wa kimazingira na kisiasa, Waislamu wa Kenya walipanda takribani miti 10,000 katika Bustani ya Uhuru jijini Nairobi kwa...
03 Nov 2025, 17:27
IQNA – Mwanazuoni wa vyombo vya habari kutoka Sudan, Mohammad al-Nour al-Zaki, amesema kuwa Uislamu una mtazamo wa kina na wa kuunganisha kuhusu mwanadamu...
03 Nov 2025, 17:33
IQNA – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmad al-Tayyib, amesema kuwa dunia inakumbwa na machafuko na ukosefu wa mantiki,...
03 Nov 2025, 17:04
IQNA – Waziri wa Awqaf wa Algeria, Youssef Belmahdi, ametangaza kukamilika kwa kozi ya tatu ya mafunzo kwa majaji wa mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini...
03 Nov 2025, 17:07
IQNA – Kupitia ukurasa wake wa Facebook, mhadhiri wa chuo kikuu kutoka Misri, Sayed Sharara, amefungua dirisha la kipekee kuonesha maisha ya Waislamu nchini...
03 Nov 2025, 17:00
IQNA – Chuo Kikuu cha Gujrat, Kampasi ya Hafiz Hayat, nchini Pakistan kimeandaa semina maalum yenye kichwa cha habari “Dhana ya Muda kwa Mujibu wa Qur’ani...
02 Nov 2025, 17:08
IQNA – Chuo cha Masomo ya Kiislamu cha Sarajevo kimeandaa tukio lake la kila mwaka la “Usiku na Qur’ani,” likiwakutanisha wanafunzi na wahifadhi wa Qur’ani...
02 Nov 2025, 17:01