IQNA

Wafungwa 72 wamehifadhi Qur'an nzima nchini Iran

IQNA – Afisa mmoja wa Iran amesema wafungwa 72 katika magereza nchini wamejifunza na kuhifadhi Qur'an nzima kwa moyo.
Waislamu Ethiopia

Waislamu wa Ethiopia waandamana kupinga marufuku ya Hijabu katika baadhi ya shule

IQNA – Maelfu ya Waislamu walihudhuria maandamano mjini Mekelle, Ethiopia, siku ya Jumanne kupinga hatua ya shule za Axum kuwazuia wanafunzi wa kike wanaovaa...

Mashindano ya Wanafunzi wa Qur'ani ya Al-Azhar Kufanyika Februari

IQNA – Mashindano ya Qur'ani kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri yatafanyika mwezi ujao.
Turathi

Misri Yazindua Mpango wa Kuhifadhi Urithi wa Qur'ani wa Sheikh Minshawi

IQNA – Wizara ya Wakfu nchini Misri imetangaza mpango wa kufufua na kuhifadhi urithi wa Qur'ani wa Sheikh Mohamed Siddiq El-Minshawi, mmoja wa wasomaji...
Habari Maalumu
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani  yaanza Algiers
Mashindano ya Qur'ani

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaanza Algiers

IQNA – Raundi ya mwisho ya mashindano ya 20 ya kimataifa ya Qur'ani ya Algeria yameanza katika sherehe katika mji mkuu Algiers siku ya Jumanne.
22 Jan 2025, 21:11
Msikiti Ujerumani wapokea Msahafu wa kihistoria
Turathi ya Kiislamu

Msikiti Ujerumani wapokea Msahafu wa kihistoria

IQNA-Msikiti wa Kijani huko Wolfenbüttel, Ujerumani, umepokea nakala nadra ya Qur'ani
22 Jan 2025, 21:04
Urekebishaji wa zaidi ya Kurasa 18,000 za Hati za Kale na Misahafu katika Astan Quds Razavi
Turathi za Kiislamu

Urekebishaji wa zaidi ya Kurasa 18,000 za Hati za Kale na Misahafu katika Astan Quds Razavi

IQNA – Wataalamu katika Maktaba, Jumba la Makumbusho, na Kituo cha Nyaraka cha Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Imam Ridha (AS) ambayo ni maarufu kama Astan...
21 Jan 2025, 17:31
Vikao vya Qur'ani Kufanyika Mashhad Wakati wa Fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran
Mashindano ya Qur'ani

Vikao vya Qur'ani Kufanyika Mashhad Wakati wa Fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran

IQNA – Wakati wa raundi ya mwisho ya Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran, programu mbalimbali za Qur'ani zitafanyika katika mji mtakatifu...
21 Jan 2025, 17:23
Qur'ani yataja wanafiki walivyomdhihaki Imam Ali (AS)
Ali katika Qur'ani/3

Qur'ani yataja wanafiki walivyomdhihaki Imam Ali (AS)

IQNA – Tafsiri kadhaa za Qur'ani Tukufu za Ahul Sunna zinabainisha kwamba aya ya 29 hadi 36 ya Surah Al-Mutaffifin zinasimulia hadithi ya wahalifu na wanafiki...
21 Jan 2025, 17:07
Nakala za Qur'ani zasambazwa kati ya wanafunzi wa Burundi

Nakala za Qur'ani zasambazwa kati ya wanafunzi wa Burundi

IQNA – Nakala za Qur'ani Tukufu zimesambazwa kati ya mamia ya wanafunzi wa madrasa (shule za jadi za Kiislamu) nchini Burundi.
21 Jan 2025, 17:36
Misahafu Adimu, Hati Za Kale Zinazoonyeshwa Katika Maonesho ya Bradford
Turathi za Kiislamu

Misahafu Adimu, Hati Za Kale Zinazoonyeshwa Katika Maonesho ya Bradford

IQNA – Mkusanyiko wa misahafu adimu na hati za kale sasa umeonyeshwa katika maonesho ya "Kuhangaika Kusikika" katika Jumba la Sanaa la Cartwright Hall...
21 Jan 2025, 17:16
Nchi 27 Zipo Katika Fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran
Mashindano ya Qur'ani

Nchi 27 Zipo Katika Fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran

IQNA – Wawakilishi wa nchi 27 watashindana katika hatua ya mwisho ya Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran baadaye mwezi huu.
20 Jan 2025, 22:42
Mashindano ya Kwanza ya Qur'ani ya Vyuo Vikuu Yanaendelea Nchini Iraq
Mashindano ya Qur'ani

Mashindano ya Kwanza ya Qur'ani ya Vyuo Vikuu Yanaendelea Nchini Iraq

IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani kwa vyuo vikuu na vituo vya elimu vya Iraq yamezinduliwa na Idara ya Mfawidhi wa kaburi takatifu la Hadhrat Abbas...
20 Jan 2025, 22:33
Wafungwa wa Kipalestina warudi nyumbani, furaha yatanda Ukingo wa Magharibi
Jinai za Israel

Wafungwa wa Kipalestina warudi nyumbani, furaha yatanda Ukingo wa Magharibi

IQNA – Jumla ya wanawake na watoto 90 wa Kipalestina waliachiliwa kutoka magereza ya kuogofya ya Israel mapema Jumatatu kama sehemu ya kubadilishana wafungwa...
20 Jan 2025, 22:25
Maandalizi yanaendelea kwa Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu

Maandalizi yanaendelea kwa Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran

IQNA – Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea na maandalizi kwa ajili ya mashindano...
20 Jan 2025, 22:14
Vifaa mahiri kuboresha viwango vya huduma katika Misikiti ya Makka na Madina
Hija na Umrah

Vifaa mahiri kuboresha viwango vya huduma katika Misikiti ya Makka na Madina

IQNA Vifaa mahiri vinatarajiwa kutumika kuboresha viwango vya huduma katika Msikiti Mkuu wa Makka (Masjid Al Haram)  na Msikiti wa Mtume wa Medina (Al...
20 Jan 2025, 22:04
Ukumbi wa Dar-ul-Qur'an wa Msikiti Mpya katika mji Mkuu wa Utawala wa Misri wavutia wengi

Ukumbi wa Dar-ul-Qur'an wa Msikiti Mpya katika mji Mkuu wa Utawala wa Misri wavutia wengi

IQNA – Ukumbi wa Kituo cha Dar-ul-Qur'an katika msikiti wa mji mkuu mpya wa utawala wa Misri ni miongoni mwa sehemu zinazo tembelewa zaidi katika eneo...
19 Jan 2025, 22:00
Mashindano ya Qur’ani Sri Lanka yalenga kuhimiza utiifu kwa Mafundisho ya Qur’ani
Mashindano ya Qur'ani

Mashindano ya Qur’ani Sri Lanka yalenga kuhimiza utiifu kwa Mafundisho ya Qur’ani

IQNA - Hatua ya mwisho ya shindano la kitaifa la pili la kuhifadhi Quran la Sri Lanka yamefanyik leo, Januari 19, huko Colombo, mji mkuu.
19 Jan 2025, 21:20
Wanafunzi wa Vyuo vya Kiislamu kutoka nchi 10 wanashiriki Mashindano ya Qur'ani ya Najaf
Qur'ani Tukufu

Wanafunzi wa Vyuo vya Kiislamu kutoka nchi 10 wanashiriki Mashindano ya Qur'ani ya Najaf

IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yanaendelea katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq, yakishirikisha wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu (Hauza)...
19 Jan 2025, 21:01
Haram ya Imam Hussein (AS) yatangaza Programu za Siku ya Kimataifa ya Qur'ani 2025 
Qur'ani Tukufu

Haram ya Imam Hussein (AS) yatangaza Programu za Siku ya Kimataifa ya Qur'ani 2025 

IQNA – Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Iraq, imetangaza ratiba kabambe kwa ajili ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Qur'ani mnamo 27...
19 Jan 2025, 17:30
Picha‎ - Filamu‎