IQNA

Srebrenica yaadhimisha miaka 30 tangu mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Bosnia

IQNA – Maelfu ya watu wamekusanyika Srebrenica siku ya Alhamisi kuadhimisha miaka 30 tangu mauaji ya kimbari ya mwaka 1995, ambapo miili ya wahanga saba...

Waislamu wakosoa kuvunjiwa heshima, Mamdani, Muislamu anayewania umeya wa New York

IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) limeitaka kampuni ya uwekezaji ya Sequoia Capital kumwondoa mshirika wake Shaun Maguire, kufuatia...

Maktaba ya Msikiti wa Mtume yatoa huduma kwa watafiti na wageni

IQNA – Maktaba ya Msikiti wa Mtume au Al Masjid An Nabawi mjini Madina inafanya kazi kama taasisi ya umma inayotoa huduma mbalimbali kwa watafiti na wageni...

Polisi wa Uingereza Wachunguza Tukio la Matusi ya Maneno Nje ya Msikiti wa Suffolk

IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kupitia kamera za usalama (CCTV) kufuatia tukio lililoripotiwa la matusi ya maneno dhidi ya waumini...
Habari Maalumu
Mashekhe wa Ulaya waliopotea wakosolewa vikali kwa kutembelea Israel kukiwa na mauaji ya kimbari Gaza

Mashekhe wa Ulaya waliopotea wakosolewa vikali kwa kutembelea Israel kukiwa na mauaji ya kimbari Gaza

IQNA – Kundi la watu wanaojiita viongozi wa Kiislamu na maimamu wa jamii za Waislamu barani Ulaya limekumbwa na ukosoaji mkali baada ya kufanya ziara katika...
12 Jul 2025, 11:14
Ustadh Abolqasemi asoma Aya za Surah Al-Imran katika Khitma ya Mashujaa wa Iran

Ustadh Abolqasemi asoma Aya za Surah Al-Imran katika Khitma ya Mashujaa wa Iran

IQNA – Qari maarufu wa Iran, Ustadh Ahmad Abolqsemi, alisoma kwa umahiri aya za Qur'ani Tukufu za 138 hadi 150 za Surah Al-Imran katika hafla maalum iliyofanyika...
11 Jul 2025, 10:50
Kaaba Tukufu yasafishwa katika tukio la kila mwaka

Kaaba Tukufu yasafishwa katika tukio la kila mwaka

IQNA – Msikiti Mtukufu wa Makka uliangaziwa na tukio la kipekee Alhamisi, ambapo shughuli ya kila mwaka ya kuosha Kaaba (Ghusl ya Kaaba) ilitekelezwa kwa...
11 Jul 2025, 11:00
Mkataba wa Amani wa Hudaybiyyah: Dira ya Mkakati wa Mtume Muhammad (SAW) katika kukuza Uislamu
Mtazamo

Mkataba wa Amani wa Hudaybiyyah: Dira ya Mkakati wa Mtume Muhammad (SAW) katika kukuza Uislamu

IQNA – Mkataba wa Amani wa Hudaybiyyah uliosainiwa mwaka wa 6 AH (628 Miladia), uligeuka kuwa hatua ya kihistoria iliyoimarisha Uislamu kwa kubadilisha...
11 Jul 2025, 10:42
Iran kuanza operesheni ya kusafirisha wafanyaziara milioni 4 wa Arbaeen kuanzia Julai 25

Iran kuanza operesheni ya kusafirisha wafanyaziara milioni 4 wa Arbaeen kuanzia Julai 25

IQNA – Operesheni ya kusafirisha wafanyaziara kwa ajili ya ibada ya Arbaeen mwaka huu itaanza rasmi tarehe 25 Julai, kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Uchukuzi...
11 Jul 2025, 10:17
Wahudumu wa afya Waislamu Australia wakumbwa na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu

Wahudumu wa afya Waislamu Australia wakumbwa na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Utafiti mpya umeonesha ongezeko la chuki na chuki dhidi Uislamu (Islamofobia) dhidi ya wahudumu wa afya Waislamu nchini Australia, hali inayowaathiri...
11 Jul 2025, 10:24
Jeshi la Yemen latekeleza operesheni kali dhidi ya meli iliyokuwa inaelekea 'Israel'

Jeshi la Yemen latekeleza operesheni kali dhidi ya meli iliyokuwa inaelekea 'Israel'

IQNA-Jeshi la Yemen limeshambulia meli nyingine iliyokuwa inaelekea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina 'Israel', ili kuwaunga...
10 Jul 2025, 10:15
Surat al-Fajr yadhihirisha Falsafa ya Ashura, asema profesa wa masomo ya Kiislamu

Surat al-Fajr yadhihirisha Falsafa ya Ashura, asema profesa wa masomo ya Kiislamu

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran ameelezea kuwa Surat al-Fajr katika Qur'an Tukufu ni sura iliyo na uhusiano wa karibu sana na urithi wa Imam Hussein...
09 Jul 2025, 17:43
Huduma zapanuliwa katika Msikiti Mtukufu wa Makkah

Huduma zapanuliwa katika Msikiti Mtukufu wa Makkah

IQNA – Mamlaka za Saudi Arabia zimeripoti utoaji wa huduma mbalimbali kwa mahujaji na wageni waliotembelea Msikiti Mtukufu wa Makkah katika mwaka wa 1446...
09 Jul 2025, 17:53
Mikataba ya Abrahamu ya Trump Imeandikiwa Kushindwa: Mchambuzi
Mtazamo

Mikataba ya Abrahamu ya Trump Imeandikiwa Kushindwa: Mchambuzi

IQNA – Mkataba wa Abrahamu wa Trump (ujulikanao pia kama "UAbrahamu wa Trump"), ambao unalenga kudhoofisha dini na haki za kitaifa za Wapalestina, hauwezi...
09 Jul 2025, 20:15
Warsha kuhusu nakala za Qur’an yafanyika katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria

Warsha kuhusu nakala za Qur’an yafanyika katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria

IQNA – Warsha yenye kichwa “Sanaa ya Uandikaji Nakala za Qur’an” ilifanyika siku ya Jumanne, Julai 9, pembeni mwa Maonyesho ya 20 ya Kimataifa ya Vitabu...
09 Jul 2025, 17:58
Mikusanyiko 114 ya Khitma ya Qur'ani imeandaliwa Iran kwa ajili ya kuwaenzi “Mashahidi wa Nguvu”

Mikusanyiko 114 ya Khitma ya Qur'ani imeandaliwa Iran kwa ajili ya kuwaenzi “Mashahidi wa Nguvu”

IQNA – Jumuiya ya Qur'ani ya Iran imepanga kuandaa mikusanyiko 114 ya usomaji wa Qur'ani katika maeneo mbalimbali ya nchi, kwa ajili ya kuwaenzi mashahidi...
08 Jul 2025, 21:01
Mufti Mkuu wa Misri akemea kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na walowezi wa Kizayuni

Mufti Mkuu wa Misri akemea kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na walowezi wa Kizayuni

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri, Dkt. Nazeer Mohammed Ayyad, ametoa taarifa ya kulaani kali dhidi ya tukio la kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na makundi ya...
08 Jul 2025, 20:47
Imam Sajjad (AS) alidumisha roho ya Karbala kupitia Dua na Mahubiri

Imam Sajjad (AS) alidumisha roho ya Karbala kupitia Dua na Mahubiri

IQNA-Profesa mmoja kutoka Iran amesema kuwa Imam Ali bin Hussein Sajjad (Aleyhi Salaam), Imamu wa nne katika mlolongo wa Maimamu wa Ahlul Bayt (AS), alikuwa...
08 Jul 2025, 17:49
Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalilenga kufufua roho na kiini cha Uislamu: Mwanazuoni wa Al-Azhar

Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalilenga kufufua roho na kiini cha Uislamu: Mwanazuoni wa Al-Azhar

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Misri amesema kuwa lengo la mapinduzi ya Imam Hussein (Aleyhi Salaam) lilikuwa kufufua roho na kiini halisi cha dini, wakati...
08 Jul 2025, 17:40
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq yasifu mafanikio ya mpango wa usalama wa Ashura Karbala

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq yasifu mafanikio ya mpango wa usalama wa Ashura Karbala

IQNA – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetoa taarifa mchana wa Jumapili ikitangaza mafanikio ya utekelezaji wa mpango wa usalama kwa ajili ya maombolezo...
07 Jul 2025, 15:31
Picha‎ - Filamu‎