iqna

IQNA

ANC
Diplomasia
TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa kilele wa BRICS ulitoa wito wa kuanzishwa kwa taifa huru la Palestina na Jerusalem Mashariki kama mji mkuu wake.
Habari ID: 3477497    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/25

Chama tawala cha ANC nchini Afrika Kusini kimetangaza kuendeleza sera ya kuunga mkono mapambano ya Wapalestina ambao wanapigania kuikomboa ardhi yao inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 2822420    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/08