iqna

IQNA

shireen
TEHRAN (IQNA)- Ushahidi wote unaonyesha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umemuua kwa makusudi mwandishi wa habari wa kike na Mkristo wa televisheni ya Al-Jazeera ya Qatar Shireen Abu Akleh kwa mujibu mpango maalumu uliokuwe umeratibiwa tangu hapo awali.
Habari ID: 3475254    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/15