Ugaidi
Watu wasiopungua 11 waliuawa na makumi ya wengine walijeruhiwa baada ya kutokea shambulio la kigaidi katika msikiti mmoja mkoani Badakhshan, kaskazini mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3477122 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/09
Hossein Amir-Abdollahian
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiutambua mfumo wa serikali unaoongoza hivi sasa nchini Afghanistan.
Habari ID: 3477050 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Hatua ya awali ya mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya wakimbizi wa Afghanistan wanaoishi nchini Iran ilifanyika katika mji mtakatifu wa wa Qom nchini Iran ambapo kulikuwa na washiriki 370.
Habari ID: 3476574 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17
Wanawake Afghanistan
TEHRAN (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina Mohammed, na viongozi waandamizi wa Taliban nchini Afghanistan walifanya mazungumzo kuhusu haki za wanawake.
Habari ID: 3476442 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21
Waislamu Afghanistan
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi mkuu wa Waislamu wa Kishia nchini Iraq Ayatullah Seyed Ali al-Sistani amehimiza jumuiya ya kimataifa na Waislamu kote ulimwenguni kuunga mkono watu "wanaoteseka" nchini Afghanistan.
Habari ID: 3476357 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/04
Hali ya Afghanistan
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imebainisha masikitiko yake kuhusu uamuzi wa utawala wa Taliban nchini Afghanistan kuwapiga marufuku wanawake kuendelea na elimu katika vyuo vikuu nchini humo.
Habari ID: 3476291 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23
Ugaidi Afghanistan
TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 32 wameuawa katika shambulio la kigaidi la mripuko wa bomu uliotokea mapema leo katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
Habari ID: 3475857 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30
Ugaidi wa Daesh
TEHRAN (IQNA) - Katika ripoti yake, Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch lilisema kuwa kundi tanzu la Daesh (ISIS au ISIL) nchini Afghanistan linalenga makundi ya Waislamu waliowachache Afghanistan kama vile Mashia wa kabila la Hazara.
Habari ID: 3475749 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/08
Ugaidi wa wakufurushaji
TEHRAN (IQNA)- Kundi la kigaidi la Daesh au kwa jina jingine ISIS, limekiri kuhusika na mlipuko uliotokea jana Ijumaa huko Kabul, mji mkuu wa Afghanistan, ambao ulipelekea watu 8 kuuawa shahidi na wengine 18 kujeruhiwa.
Habari ID: 3475585 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06
Hijabu katika Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Fatima Payman, ambaye amechaguliwa kuwa mwanamke wa kwanza wa Muislamu aliyevalia hijabu katika Bunge la Seneti nchini Australia, anasema anataka kuhakikisha kuwa uvaaji
Habari ID: 3475422 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/25
Hali nchini Afghanistan
TEHRAN (IQNA)- Maafisa wa Afghanistan wanasema idadi ya watu waliouwawa kufuatia mashambulizi manne ya mabomu yaliyofanyika kwenye basi dogo na msikitini nchini humo imefikia watu 16.
Habari ID: 3475298 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/26
TEHRAN (IQNA)- Idadi ya watu waliouawa shahidi katika shambulio la kigaidi lililotokea jana kwenye Msikiti mmoja wakati wa Sala ya Ijumaa huko Kunduz, kaskazini mwa Afghanistan wamefikia Waislamu 33.
Habari ID: 3475157 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/23
TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi zaidi ya 27 wameuawa kufuatia hujuma ya kigaidi katika shule moja ya wavulana katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul Jumanne.
Habari ID: 3475141 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19
TEHRAN (IQNA)- Katika cha mtandaoni kilichoandaliwa na Shirika la Habari la IQNA, wataalamu waMEsisitiza kwamba kazi zaidi ya kitamaduni inahitajika kufanywa ili kukabiliana na makundi ya kitakfiri au wakufurishaji kama vile Daesh (ISIS au ISIL).
Habari ID: 3475127 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/14
TEHRAN (IQNA)- Jumamosi usiku magaidi walishambulia mtaa wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Herat nchini Afghanistan ambapo watu wasiopungua saba waliuawa na wengine 10 walojeruhiwa.
Habari ID: 3474842 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/23
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa serikali ya Taliban nchini Afghanistan ametoa wito kwa nchi za Waislamu ziitambue rasmi serikali hiyo.
Habari ID: 3474827 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/19
TEHRAN (IQNA)- Wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamepitisha kwa kauli moja azimio la kurahisisha shughuli za upelekaji misaada nchini Afghanistan.
Habari ID: 3474712 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/23
TEHRAN (IQNA) Jumapilia 19 Disemba, mji mkuu wa Pakistan, Islamabad utakuwa mwenyeji wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ambapo jenda kuu na pekee ya mkutano huo ni kuchunguza matukio ya Afghanistan hususan hali ya kibinadamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3474692 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/18
Rais wa Iran katika mkutano na Rais wa Uturuki
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema matatizo na changamoto za kieneo zinapaswa kutatuliwa na nchi za eneo na kwamba uingiliaji wa kigeni hausaidii lolote bali unachochea na kuvuruga zaidi hali ya mambo.
Habari ID: 3474617 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/29
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema leo masuala ya Iraq na Afghanistan ni muhimu kwa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3474545 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/12