Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya kwanza ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478493 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12
Qiraa ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Osama al-Zahri al-Balushi, ni qari kijana huko Oman, na qiraa yake ya Qur'ani Tukufu katika sala ya jamaa imesambaa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3476289 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22
TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii kumesambaa klipu ya qiraa ya Qur'ani Tukufu ya vijana sita kutoka nchi mbali mbali za Kiislamu.
Habari ID: 3476203 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/06
Usomaji Qur'ani au Qiraa
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Kamil Yusuf al Bahtimi ni moja kati ya wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu nchini Misri.
Habari ID: 3476084 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/13