iqna

IQNA

wakanushaji
Sura za Qur’ani Tukufu / 50
TEHRAN (IQNA) – Ufufuo na maisha baada ya kifo ni masuala ambayo yamesisitizwa katika mafundisho ya Kiislamu. Sura Qaaf ni moja ya sura za Qur'ani Tukufu ambayo inajibu maswali yaliyoulizwa na wale wanaofikiria maisha kuwa ni ya ulimwengu huu na wanaikana akhera.
Habari ID: 3476296    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/24

Sura za Qur'ani Tukufu /44
TEHRAN (IQNA) – Ukweli wa kila kitu uko wazi na dhahiri lakini wengine wanakanusha kwa sababu mbalimbali, kama vile kuepuka tishio kwa maslahi yao binafsi au ya kikundi.
Habari ID: 3476188    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/03