iqna

IQNA

aqaba
Shakhsia katika Qur'ani Tukufu / 22
TEHRAN (IQNA) – Shuaib –Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake- (AS) alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu na dhuria wa Ibrahim (AS). Shuaib (AS) ni nabii wa tatu wa Kiarabu ambaye jina lake limetajwa katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476282    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/21